Ayubu 34:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana yeye atamlipa+ mtu wa udongo kulingana na matendo yake,Na kulingana na pito la mwanadamu yeye ataifanya ije juu yake. Zaburi 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yehova hunipa thawabu kulingana na uadilifu wangu;+Hunilipa kulingana na usafi wa mikono yangu.+
11 Kwa maana yeye atamlipa+ mtu wa udongo kulingana na matendo yake,Na kulingana na pito la mwanadamu yeye ataifanya ije juu yake.