Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 33:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Anaifanyiza mioyo yao wote pamoja;+

      Anazifikiria kazi zao zote.+

  • Methali 5:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana njia za mwanadamu ziko mbele za macho ya Yehova,+ naye anayatafakari mapito yake yote.+

  • Isaya 29:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ole wao wanaojizamisha ndani sana katika kuficha shauri kutoka kwa Yehova,+ na ambao matendo yao yamefanyika mahali penye giza,+ huku wakisema: “Ni nani anayetuona, na ni nani anayejua habari zetu?”+

  • Matendo 5:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Lakini Petro akasema: “Anania, kwa nini Shetani+ amekupa ujasiri wa kuidanganya+ roho takatifu+ na kujiwekea kwa siri kiasi fulani cha bei ya shamba?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki