Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 24:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na Daudi akaendelea kumwambia Sauli: “Kwa nini unayasikiliza maneno ya watu,+ wakisema, ‘Tazama! Daudi anatafuta kukudhuru’?

  • 1 Samweli 24:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi ona baba yangu,+ ndiyo, ona mkononi mwangu upindo wa koti lako lisilo na mikono, kwa sababu nilipokata upindo wa koti lako, sikukuua. Ujue na kuona kwamba hakuna ubaya+ wowote wala maasi mkononi mwangu, nami sikutenda dhambi juu yako, huku wewe ukiivizia nafsi yangu ili kuiondolea mbali.+

  • Zaburi 7:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ee Yehova Mungu wangu, ikiwa nimefanya hili,+

      Ikiwa kuna ukosefu wowote wa haki katika mikono yangu,+

  • Yohana 10:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Yesu akawajibu: “Niliwaonyesha kazi nyingi nzuri kutoka kwa Baba. Kati ya kazi hizo mnataka kunipiga kwa mawe kwa sababu ya kazi gani?”

  • Yohana 18:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yesu akamjibu: “Ikiwa nimesema vibaya, toa ushahidi kuhusu ubaya wenyewe; lakini ikiwa nimesema sawasawa, kwa nini unanipiga?”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki