1 Samweli 23:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na Daudi akaanza kukaa nyikani, katika mahali palipo pagumu kufikiwa, naye akaendelea kukaa katika eneo lenye milima katika nyika ya Zifu.+ Na Sauli akaendelea kumtafuta sikuzote,+ naye Mungu hakumtia mkononi mwake.+ Zaburi 140:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 140 Uniokoe, Ee Yehova, kutoka kwa watu wabaya;+Unilinde na mtu mwenye matendo ya jeuri,+
14 Na Daudi akaanza kukaa nyikani, katika mahali palipo pagumu kufikiwa, naye akaendelea kukaa katika eneo lenye milima katika nyika ya Zifu.+ Na Sauli akaendelea kumtafuta sikuzote,+ naye Mungu hakumtia mkononi mwake.+