1 Samweli 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yeye hulinda miguu ya washikamanifu wake;+Lakini kwa habari ya waovu, wao wananyamazishwa katika giza,+Kwa maana si kwamba mwanadamu hushinda kwa ukuu wa nguvu.+ Zaburi 33:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Tazama! Jicho la Yehova linawaelekea wale wanaomwogopa,+Wale wanaozingojea fadhili zake zenye upendo,+ Zaburi 54:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tazama! Mungu ni msaidizi wangu;+Yehova yuko kati ya wale wanaoitegemeza nafsi yangu. Zaburi 124:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nafsi yetu ni kama ndege ambaye ameponyoka+Kutoka katika mtego wa watega-chambo.+Mtego umevunjwa,+Na sisi tumeponyoka.+ Methali 21:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Hakuna hekima, wala utambuzi wowote, wala shauri lolote, katika kumpinga Yehova.+ Waroma 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+
9 Yeye hulinda miguu ya washikamanifu wake;+Lakini kwa habari ya waovu, wao wananyamazishwa katika giza,+Kwa maana si kwamba mwanadamu hushinda kwa ukuu wa nguvu.+
18 Tazama! Jicho la Yehova linawaelekea wale wanaomwogopa,+Wale wanaozingojea fadhili zake zenye upendo,+
7 Nafsi yetu ni kama ndege ambaye ameponyoka+Kutoka katika mtego wa watega-chambo.+Mtego umevunjwa,+Na sisi tumeponyoka.+
31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+