Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Yeye hulinda miguu ya washikamanifu wake;+

      Lakini kwa habari ya waovu, wao wananyamazishwa katika giza,+

      Kwa maana si kwamba mwanadamu hushinda kwa ukuu wa nguvu.+

  • Zaburi 33:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Tazama! Jicho la Yehova linawaelekea wale wanaomwogopa,+

      Wale wanaozingojea fadhili zake zenye upendo,+

  • Zaburi 54:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Tazama! Mungu ni msaidizi wangu;+

      Yehova yuko kati ya wale wanaoitegemeza nafsi yangu.

  • Zaburi 124:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Nafsi yetu ni kama ndege ambaye ameponyoka+

      Kutoka katika mtego wa watega-chambo.+

      Mtego umevunjwa,+

      Na sisi tumeponyoka.+

  • Methali 21:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Hakuna hekima, wala utambuzi wowote, wala shauri lolote, katika kumpinga Yehova.+

  • Waroma 8:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki