Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 18:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Na Sauli akaogopa zaidi tena kwa sababu ya Daudi, Sauli akawa adui ya Daudi sikuzote.+

  • 1 Samweli 20:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Ndipo Sauli akamtupia mkuki, ili ampige;+ na Yonathani akajua kwamba baba yake alikuwa ameazimia kumuua Daudi.+

  • 1 Samweli 27:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Hata hivyo, Daudi akasema moyoni mwake: “Sasa mkono wa Sauli utanifagilia mbali siku moja. Hakuna jambo bora kwangu kuliko kuponyoka+ bila shaka, niende katika nchi ya Wafilisti;+ na Sauli atakata tamaa ya kunitafuta tena katika eneo lote la Israeli,+ nami nitaponyoka kutoka mkononi mwake.”

  • Zaburi 54:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kwa maana kuna wageni ambao wameinuka dhidi yangu,

      Na waonevu wanaoitafuta nafsi yangu.+

      Hawajamweka Mungu mbele yao.+ Sela.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki