Zaburi 36:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Maneno ya ukosaji kwa mtu mwovu yako katikati ya moyo wake;+Hakuna hofu ya Mungu mbele ya macho yake.+ Zaburi 53:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Je, hakuna yeyote kati ya wale wanaotenda mambo yenye kuumiza ambaye ana ujuzi,+Wakila watu wangu kama vile ambavyo wamekula mkate?+Hata hawajamwitia Yehova.+ Yohana 16:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini watafanya mambo haya kwa sababu hawamjui Baba wala hawanijui.+
36 Maneno ya ukosaji kwa mtu mwovu yako katikati ya moyo wake;+Hakuna hofu ya Mungu mbele ya macho yake.+
4 Je, hakuna yeyote kati ya wale wanaotenda mambo yenye kuumiza ambaye ana ujuzi,+Wakila watu wangu kama vile ambavyo wamekula mkate?+Hata hawajamwitia Yehova.+