1 Samweli 18:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi Sauli akawa akimtilia Daudi shaka tangu siku hiyo na kuendelea.+ 1 Samweli 18:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na Sauli akaanza kumwogopa+ Daudi kwa maana Yehova alikuwa pamoja naye,+ lakini alikuwa amemwacha Sauli.+ 1 Samweli 20:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Ndipo Sauli akamtupia mkuki, ili ampige;+ na Yonathani akajua kwamba baba yake alikuwa ameazimia kumuua Daudi.+ Zaburi 37:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mwovu anampangia hila mwadilifu,+Naye anamsagia meno yake.+
12 Na Sauli akaanza kumwogopa+ Daudi kwa maana Yehova alikuwa pamoja naye,+ lakini alikuwa amemwacha Sauli.+
33 Ndipo Sauli akamtupia mkuki, ili ampige;+ na Yonathani akajua kwamba baba yake alikuwa ameazimia kumuua Daudi.+