Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 18:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Basi Sauli akawa akimtilia Daudi shaka tangu siku hiyo na kuendelea.+

  • 1 Samweli 18:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na Sauli akaanza kumwogopa+ Daudi kwa maana Yehova alikuwa pamoja naye,+ lakini alikuwa amemwacha Sauli.+

  • 1 Samweli 20:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Ndipo Sauli akamtupia mkuki, ili ampige;+ na Yonathani akajua kwamba baba yake alikuwa ameazimia kumuua Daudi.+

  • Zaburi 37:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mwovu anampangia hila mwadilifu,+

      Naye anamsagia meno yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki