1 Samweli 20:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Ndipo Sauli akamtupia mkuki, ili ampige;+ na Yonathani akajua kwamba baba yake alikuwa ameazimia kumuua Daudi.+ 1 Samweli 21:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kisha Daudi akaondoka, akaendelea kukimbia+ kwa sababu ya Sauli siku hiyo, mwishowe akafika kwa Akishi mfalme wa Gathi.+ Methali 27:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kuna ukatili wa ghadhabu, pia furiko la hasira,+ lakini ni nani anayeweza kusimama mbele ya wivu?+ 1 Timotheo 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 yeye anajivuna kwa kiburi,+ haelewi jambo lolote,+ bali ni mgonjwa kiakili+ juu ya maswali na mabishano juu ya maneno.+ Mambo hayo hutokeza wivu,+ mizozo, matukano,+ shuku zenye uovu,
33 Ndipo Sauli akamtupia mkuki, ili ampige;+ na Yonathani akajua kwamba baba yake alikuwa ameazimia kumuua Daudi.+
10 Kisha Daudi akaondoka, akaendelea kukimbia+ kwa sababu ya Sauli siku hiyo, mwishowe akafika kwa Akishi mfalme wa Gathi.+
4 yeye anajivuna kwa kiburi,+ haelewi jambo lolote,+ bali ni mgonjwa kiakili+ juu ya maswali na mabishano juu ya maneno.+ Mambo hayo hutokeza wivu,+ mizozo, matukano,+ shuku zenye uovu,