Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 20:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Ndipo Sauli akamtupia mkuki, ili ampige;+ na Yonathani akajua kwamba baba yake alikuwa ameazimia kumuua Daudi.+

  • 1 Samweli 21:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kisha Daudi akaondoka, akaendelea kukimbia+ kwa sababu ya Sauli siku hiyo, mwishowe akafika kwa Akishi mfalme wa Gathi.+

  • Methali 27:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kuna ukatili wa ghadhabu, pia furiko la hasira,+ lakini ni nani anayeweza kusimama mbele ya wivu?+

  • 1 Timotheo 6:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 yeye anajivuna kwa kiburi,+ haelewi jambo lolote,+ bali ni mgonjwa kiakili+ juu ya maswali na mabishano juu ya maneno.+ Mambo hayo hutokeza wivu,+ mizozo, matukano,+ shuku zenye uovu,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki