1 Samweli 18:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ndipo Sauli akautupa mkuki+ na kusema: “Nitampigilia Daudi ukutani!”+ lakini Daudi akakwepa kutoka mbele yake, mara mbili.+ 1 Samweli 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi Sauli akatafuta kumpigilia Daudi ukutani+ kwa mkuki, lakini akakwepa+ kutoka mbele ya Sauli, hivi kwamba akaupigilia mkuki ule ndani ya ukuta. Naye Daudi akakimbia ili aponyoke usiku huo.+ Yohana 15:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hakuna aliye na upendo mkuu kuliko huu, kwamba mtu aitoe nafsi yake kwa ajili ya rafiki zake.+
11 Ndipo Sauli akautupa mkuki+ na kusema: “Nitampigilia Daudi ukutani!”+ lakini Daudi akakwepa kutoka mbele yake, mara mbili.+
10 Basi Sauli akatafuta kumpigilia Daudi ukutani+ kwa mkuki, lakini akakwepa+ kutoka mbele ya Sauli, hivi kwamba akaupigilia mkuki ule ndani ya ukuta. Naye Daudi akakimbia ili aponyoke usiku huo.+