1 Samweli 18:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ndipo Sauli akautupa mkuki+ na kusema: “Nitampigilia Daudi ukutani!”+ lakini Daudi akakwepa kutoka mbele yake, mara mbili.+ 1 Samweli 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo Sauli akaitii sauti ya Yonathani, na Sauli akaapa: “Kama Yehova anavyoishi,+ yeye hatauawa.” Zaburi 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Utawaangamiza wale wanaosema uwongo.+Mtu anayemwaga damu+ na mdanganyifu+ Yehova anamchukia. Mhubiri 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mtoto mwenye uhitaji lakini mwenye hekima+ ni afadhali kuliko mfalme mzee lakini mjinga,+ ambaye haoni tena haja ya kukubali onyo.+
11 Ndipo Sauli akautupa mkuki+ na kusema: “Nitampigilia Daudi ukutani!”+ lakini Daudi akakwepa kutoka mbele yake, mara mbili.+
13 Mtoto mwenye uhitaji lakini mwenye hekima+ ni afadhali kuliko mfalme mzee lakini mjinga,+ ambaye haoni tena haja ya kukubali onyo.+