1 Samweli 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi Sauli akatafuta kumpigilia Daudi ukutani+ kwa mkuki, lakini akakwepa+ kutoka mbele ya Sauli, hivi kwamba akaupigilia mkuki ule ndani ya ukuta. Naye Daudi akakimbia ili aponyoke usiku huo.+ 1 Samweli 20:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Ndipo Sauli akamtupia mkuki, ili ampige;+ na Yonathani akajua kwamba baba yake alikuwa ameazimia kumuua Daudi.+
10 Basi Sauli akatafuta kumpigilia Daudi ukutani+ kwa mkuki, lakini akakwepa+ kutoka mbele ya Sauli, hivi kwamba akaupigilia mkuki ule ndani ya ukuta. Naye Daudi akakimbia ili aponyoke usiku huo.+
33 Ndipo Sauli akamtupia mkuki, ili ampige;+ na Yonathani akajua kwamba baba yake alikuwa ameazimia kumuua Daudi.+