Zaburi 18:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Alikuwa akinikomboa kutoka kwa adui yangu mwenye nguvu,+Na kutoka kwa wale wanaonichukia; kwa sababu walikuwa na nguvu kuliko mimi.+ Zaburi 34:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mwadilifu ana misiba mingi,+Lakini Yehova humkomboa kutoka katika yote hiyo.+ Isaya 54:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Silaha yoyote itakayofanywa juu yako haitafanikiwa,+ na ulimi wowote utakaoinuka juu yako katika hukumu wewe utauhukumu.+ Hilo ndilo fungu la urithi la watumishi wa Yehova,+ na uadilifu wao ni kutoka kwangu,” asema Yehova.+
17 Alikuwa akinikomboa kutoka kwa adui yangu mwenye nguvu,+Na kutoka kwa wale wanaonichukia; kwa sababu walikuwa na nguvu kuliko mimi.+
17 Silaha yoyote itakayofanywa juu yako haitafanikiwa,+ na ulimi wowote utakaoinuka juu yako katika hukumu wewe utauhukumu.+ Hilo ndilo fungu la urithi la watumishi wa Yehova,+ na uadilifu wao ni kutoka kwangu,” asema Yehova.+