2 Samweli 22:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Alikuwa akinikomboa kutoka kwa adui yangu mwenye nguvu,+Kutoka kwa wale wanaonichukia; kwa sababu walikuwa na nguvu kuliko mimi.+ Zaburi 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Usimame,+ Ee Yehova! Uniokoe,+ Ee Mungu wangu!+Kwa maana utawapiga adui zangu wote kwenye taya.+Utayavunja meno ya waovu.+
18 Alikuwa akinikomboa kutoka kwa adui yangu mwenye nguvu,+Kutoka kwa wale wanaonichukia; kwa sababu walikuwa na nguvu kuliko mimi.+
7 Usimame,+ Ee Yehova! Uniokoe,+ Ee Mungu wangu!+Kwa maana utawapiga adui zangu wote kwenye taya.+Utayavunja meno ya waovu.+