Zaburi 109:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Unisaidie, Ee Yehova Mungu wangu;+Uniokoe kulingana na fadhili zako zenye upendo.+ Mathayo 27:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Ameweka tegemeo lake katika Mungu; acheni Yeye sasa amwokoe+ ikiwa Yeye anamtaka, kwa maana alisema, ‘Mimi ni Mwana wa Mungu.’ ”+ 1 Timotheo 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana kwa kusudi hili tunafanya kazi kwa bidii na kujikaza wenyewe,+ kwa sababu tumeweka tumaini+ letu juu ya Mungu aliye hai, ambaye ni Mwokozi+ wa watu wa namna zote,+ hasa wa watu waaminifu.+
43 Ameweka tegemeo lake katika Mungu; acheni Yeye sasa amwokoe+ ikiwa Yeye anamtaka, kwa maana alisema, ‘Mimi ni Mwana wa Mungu.’ ”+
10 Kwa maana kwa kusudi hili tunafanya kazi kwa bidii na kujikaza wenyewe,+ kwa sababu tumeweka tumaini+ letu juu ya Mungu aliye hai, ambaye ni Mwokozi+ wa watu wa namna zote,+ hasa wa watu waaminifu.+