Zaburi 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wengi wanasema juu ya nafsi yangu:“Hakuna wokovu kwa ajili yake kutoka kwa Mungu.”+ Sela. Zaburi 22:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Yeye alijitia mikononi mwa Yehova.+ Acha Yeye amwokoe!+Na amkomboe, kwa kuwa yeye amependezwa naye!”+ Zaburi 42:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wale wanaonionyesha uadui wamenishutumu kwa mauaji dhidi ya mifupa yangu,+Huku wakiniambia mchana kutwa: “Mungu wako yuko wapi?”+
8 “Yeye alijitia mikononi mwa Yehova.+ Acha Yeye amwokoe!+Na amkomboe, kwa kuwa yeye amependezwa naye!”+
10 Wale wanaonionyesha uadui wamenishutumu kwa mauaji dhidi ya mifupa yangu,+Huku wakiniambia mchana kutwa: “Mungu wako yuko wapi?”+