Zaburi 58:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ee Mungu, yang’oe meno yaliyo kinywani mwao.+Uvunje mifupa ya taya za wana-simba wenye manyoya shingoni, Ee Yehova. 2 Wathesalonike 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hii inazingatia kwamba ni jambo la uadilifu kwa upande wa Mungu kuwalipa dhiki wale wanaowafanyia ninyi dhiki,+
6 Ee Mungu, yang’oe meno yaliyo kinywani mwao.+Uvunje mifupa ya taya za wana-simba wenye manyoya shingoni, Ee Yehova.
6 Hii inazingatia kwamba ni jambo la uadilifu kwa upande wa Mungu kuwalipa dhiki wale wanaowafanyia ninyi dhiki,+