Ayubu 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wamefungua vinywa vyao wazi juu yangu,+Wamenipiga mashavu yangu kwa shutuma,Wanakusanyika juu yangu wakiwa hesabu kubwa.+ Ayubu 29:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nami nilikuwa nikiivunja mifupa ya taya ya mkosaji,+Na kutoka katika meno yake nikawa nikinyakua mawindo.
10 Wamefungua vinywa vyao wazi juu yangu,+Wamenipiga mashavu yangu kwa shutuma,Wanakusanyika juu yangu wakiwa hesabu kubwa.+
17 Nami nilikuwa nikiivunja mifupa ya taya ya mkosaji,+Na kutoka katika meno yake nikawa nikinyakua mawindo.