Zaburi 58:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ee Mungu, yang’oe meno yaliyo kinywani mwao.+Uvunje mifupa ya taya za wana-simba wenye manyoya shingoni, Ee Yehova. Methali 30:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kuna kizazi cha watu ambao meno yao ni panga na ambao mifupa yao ya taya ni visu vya kuchinjia,+ ili kuwala wenye kuteseka waondolewe duniani na maskini watoke kati ya wanadamu.+
6 Ee Mungu, yang’oe meno yaliyo kinywani mwao.+Uvunje mifupa ya taya za wana-simba wenye manyoya shingoni, Ee Yehova.
14 Kuna kizazi cha watu ambao meno yao ni panga na ambao mifupa yao ya taya ni visu vya kuchinjia,+ ili kuwala wenye kuteseka waondolewe duniani na maskini watoke kati ya wanadamu.+