Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 14:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Je, hakuna yeyote kati ya wale wanaotenda mambo yenye kuumiza ambaye ana ujuzi,+

      Wakila watu wangu kama vile ambavyo wamekula mkate?+

      Hata hawajamwitia Yehova.+

  • Methali 22:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Anayempunja mtu wa hali ya chini ili ajipatie vitu vingi,+ pia yeye anayempa tajiri, hakika atakuwa na uhitaji.+

  • Isaya 32:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Naye mtu asiye na msimamo, vyombo vyake ni vibaya;+ yeye ametoa shauri kwa ajili ya matendo ya mwenendo mpotovu,+ kuwavunja wenye kuteseka kwa maneno ya uwongo,+ hata maskini anaposema jambo lililo haki.

  • Mika 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 ninyi ambao pia mmekula nyama ya watu wangu,+ na mmeichuna ngozi yao kutoka kwao, mkaivunja vipande-vipande mifupa yao, na kuiponda vipande-vipande kama kitu kilicho katika chungu chenye mdomo mpana na kama nyama ndani ya chungu cha kupikia.+

  • Habakuki 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa fimbo zake mwenyewe ulikichoma+ kichwa cha mashujaa wake wa vita waliposonga kama tufani ili kunitawanya.+ Upeo wao wa raha ulikuwa kama wa wale wanaokusudia kummeza mwenye kuteseka katika maficho.+

  • Marko 12:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Wao ndio wanaomeza nyumba+ za wajane na kutoa sala ndefu kwa kisingizio; hawa watapokea hukumu nzito zaidi.”+

  • Yakobo 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Tazama! Mishahara iliyo haki ya wafanyakazi waliovuna mashamba yenu lakini ambayo mmeizuilia,+ inaendelea kupaaza kilio,+ na vilio vya kuomba msaada+ vya wavunaji vimeingia masikioni+ mwa Yehova wa majeshi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki