25 Mwaga ghadhabu yako juu ya mataifa+ ambayo yamekupuuza,+ na juu ya familia ambazo hazikuliitia jina lako.+ Kwa maana wamemla Yakobo.+ Ndiyo, wamemla, nao wanaendelea kumwangamiza;+ nao wameyafanya makao yake kuwa ukiwa.+
3 ninyi ambao pia mmekula nyama ya watu wangu,+ na mmeichuna ngozi yao kutoka kwao, mkaivunja vipande-vipande mifupa yao, na kuiponda vipande-vipande kama kitu kilicho katika chungu chenye mdomo mpana na kama nyama ndani ya chungu cha kupikia.+