Zaburi 37:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Waovu wamechomoa upanga na kuupinda upinde wao,+Ili kumwangusha mwenye kuteseka na maskini,+Ili kuwachinja walio wanyoofu katika njia yao.+ Zaburi 140:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Najua vema kwamba Yehova atatimiza+Dai halali la mwenye kuteseka, hukumu ya maskini.+ Methali 30:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kuna kizazi cha watu ambao meno yao ni panga na ambao mifupa yao ya taya ni visu vya kuchinjia,+ ili kuwala wenye kuteseka waondolewe duniani na maskini watoke kati ya wanadamu.+
14 Waovu wamechomoa upanga na kuupinda upinde wao,+Ili kumwangusha mwenye kuteseka na maskini,+Ili kuwachinja walio wanyoofu katika njia yao.+
14 Kuna kizazi cha watu ambao meno yao ni panga na ambao mifupa yao ya taya ni visu vya kuchinjia,+ ili kuwala wenye kuteseka waondolewe duniani na maskini watoke kati ya wanadamu.+