Zaburi 35:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Uamke na ukae macho kwa ajili ya hukumu yangu,+Kwa ajili ya kesi yangu,+ Ee Mungu wangu, naam, Yehova. Yohana 20:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yesu akamwambia: “Acha kuning’ang’ania. Kwa maana bado sijapanda kwenda kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu+ zangu, nawe uwaambie, ‘Mimi ninapanda kwenda kwa Baba+ yangu na Baba yenu na kwa Mungu wangu+ na Mungu wenu.’ ”+
23 Uamke na ukae macho kwa ajili ya hukumu yangu,+Kwa ajili ya kesi yangu,+ Ee Mungu wangu, naam, Yehova.
17 Yesu akamwambia: “Acha kuning’ang’ania. Kwa maana bado sijapanda kwenda kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu+ zangu, nawe uwaambie, ‘Mimi ninapanda kwenda kwa Baba+ yangu na Baba yenu na kwa Mungu wangu+ na Mungu wenu.’ ”+