Methali 28:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Mwenye kiburi katika nafsi huchochea ugomvi,+ lakini yeye anayemtegemea Yehova atafanywa anenepe.+ Wagalatia 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana yeyote akifikiri kuwa yeye ni kitu wakati yeye si kitu,+ anaidanganya akili yake mwenyewe. 1 Timotheo 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 si mtu aliyegeuka hivi karibuni,+ asije akajivuna kwa kiburi+ na kuanguka katika hukumu iliyopitishwa juu ya Ibilisi.+
25 Mwenye kiburi katika nafsi huchochea ugomvi,+ lakini yeye anayemtegemea Yehova atafanywa anenepe.+
3 Kwa maana yeyote akifikiri kuwa yeye ni kitu wakati yeye si kitu,+ anaidanganya akili yake mwenyewe.
6 si mtu aliyegeuka hivi karibuni,+ asije akajivuna kwa kiburi+ na kuanguka katika hukumu iliyopitishwa juu ya Ibilisi.+