Matendo 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Simoni mwenyewe pia akawa mwamini, na, baada ya kubatizwa, akawa akimhudumia Filipo+ daima; naye alishangaa kuona ishara na kazi kubwa zenye nguvu zikitendeka. 1 Timotheo 5:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Usiweke kamwe mikono+ yako juu ya mtu yeyote haraka-haraka; wala usiwe mshiriki katika dhambi za wengine;+ jihifadhi ukiwa safi kiadili.+
13 Simoni mwenyewe pia akawa mwamini, na, baada ya kubatizwa, akawa akimhudumia Filipo+ daima; naye alishangaa kuona ishara na kazi kubwa zenye nguvu zikitendeka.
22 Usiweke kamwe mikono+ yako juu ya mtu yeyote haraka-haraka; wala usiwe mshiriki katika dhambi za wengine;+ jihifadhi ukiwa safi kiadili.+