1 Timotheo 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Usiache mtu yeyote audharau kamwe ujana wako.+ Badala yake, uwe kielelezo+ kwa waaminifu+ katika kusema, katika mwenendo, katika upendo, katika imani, katika usafi wa kiadili.+ 1 Yohana 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na kila mtu ambaye ana tumaini hili likiwa limekazwa juu yake hujitakasa+ mwenyewe kama vile huyo alivyo mwenye kutakata.+
12 Usiache mtu yeyote audharau kamwe ujana wako.+ Badala yake, uwe kielelezo+ kwa waaminifu+ katika kusema, katika mwenendo, katika upendo, katika imani, katika usafi wa kiadili.+
3 Na kila mtu ambaye ana tumaini hili likiwa limekazwa juu yake hujitakasa+ mwenyewe kama vile huyo alivyo mwenye kutakata.+