1 Wakorintho 16:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa hiyo, mtu yeyote asimdharau.+ Msindikizeni hatua fulani kwa amani, ili anifikie hapa, kwa maana ninamngojea nikiwa pamoja na akina ndugu. Tito 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Endelea kusema mambo haya na kuhimiza na kukaripia kwa mamlaka kamili ya kuamuru.+ Usiache kamwe mtu yeyote akudharau.+
11 Kwa hiyo, mtu yeyote asimdharau.+ Msindikizeni hatua fulani kwa amani, ili anifikie hapa, kwa maana ninamngojea nikiwa pamoja na akina ndugu.
15 Endelea kusema mambo haya na kuhimiza na kukaripia kwa mamlaka kamili ya kuamuru.+ Usiache kamwe mtu yeyote akudharau.+