Matendo 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 nao wakawaweka mbele ya mitume, na, wakiisha kusali, hao wakaweka mikono+ yao juu yao. Matendo 14:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Zaidi ya hayo, wakawaweka rasmi wanaume wazee+ kwa ajili yao katika kila kutaniko, wakatoa sala pamoja na kufunga,+ na kuwakabidhi kwa Yehova+ ambaye walikuwa wamemwamini. 1 Timotheo 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 si mtu aliyegeuka hivi karibuni,+ asije akajivuna kwa kiburi+ na kuanguka katika hukumu iliyopitishwa juu ya Ibilisi.+ 1 Timotheo 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Usiwe ukiipuuza zawadi+ iliyo ndani yako uliyopewa kupitia utabiri+ na wakati baraza la wanaume wazee walipoweka mikono+ yao juu yako.
23 Zaidi ya hayo, wakawaweka rasmi wanaume wazee+ kwa ajili yao katika kila kutaniko, wakatoa sala pamoja na kufunga,+ na kuwakabidhi kwa Yehova+ ambaye walikuwa wamemwamini.
6 si mtu aliyegeuka hivi karibuni,+ asije akajivuna kwa kiburi+ na kuanguka katika hukumu iliyopitishwa juu ya Ibilisi.+
14 Usiwe ukiipuuza zawadi+ iliyo ndani yako uliyopewa kupitia utabiri+ na wakati baraza la wanaume wazee walipoweka mikono+ yao juu yako.