Luka 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Nao wakaendelea kumsihi+ asiwaagize waingie katika abiso.+ Matendo 8:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa hiyo, tubu ubaya wako huu, na umwombe Yehova dua+ ili, ikiwezekana, upate kusamehewa hila ya moyo wako; Ufunuo 20:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye akamtupa ndani ya abiso+ na kuifunga na kuitia muhuri juu yake, ili asipotoshe mataifa tena mpaka ile miaka elfu itakapokwisha. Baada ya mambo hayo yeye atafunguliwa kwa muda kidogo.+
22 Kwa hiyo, tubu ubaya wako huu, na umwombe Yehova dua+ ili, ikiwezekana, upate kusamehewa hila ya moyo wako;
3 Naye akamtupa ndani ya abiso+ na kuifunga na kuitia muhuri juu yake, ili asipotoshe mataifa tena mpaka ile miaka elfu itakapokwisha. Baada ya mambo hayo yeye atafunguliwa kwa muda kidogo.+