7 Mtu mwovu aiache njia yake,+ na mtu mwenye madhara ayaache mawazo yake;+ naye arudi kwa Yehova, ambaye atamwonyesha rehema,+ na kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.+
27 Kwa hiyo, Ee mfalme, shauri langu na likubalike kwako,+ nawe uziondoe dhambi zako kwa uadilifu,+ na uovu wako kwa kuwaonyesha maskini rehema.+ Labda mafanikio yako yatarefushwa.’ ”+