Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 34:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na Yoshua mwana wa Nuni alikuwa amejaa roho ya hekima,+ kwa kuwa Musa alikuwa ameweka mkono wake juu yake;+ na wana wa Israeli wakaanza kumsikiliza nao wakafanya kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.+

  • Matendo 8:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ndipo wakaanza kuweka mikono yao juu yao,+ nao wakaanza kupokea roho takatifu.

  • Matendo 13:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndipo wakafunga na kusali na kuweka mikono+ yao juu yao, wakawaacha waende zao.

  • Matendo 14:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Zaidi ya hayo, wakawaweka rasmi wanaume wazee+ kwa ajili yao katika kila kutaniko, wakatoa sala pamoja na kufunga,+ na kuwakabidhi kwa Yehova+ ambaye walikuwa wamemwamini.

  • 1 Timotheo 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Usiwe ukiipuuza zawadi+ iliyo ndani yako uliyopewa kupitia utabiri+ na wakati baraza la wanaume wazee walipoweka mikono+ yao juu yako.

  • 1 Timotheo 5:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Usiweke kamwe mikono+ yako juu ya mtu yeyote haraka-haraka; wala usiwe mshiriki katika dhambi za wengine;+ jihifadhi ukiwa safi kiadili.+

  • 2 Timotheo 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa sababu hii nakukumbusha wewe uichochee kama moto+ zawadi+ ya Mungu iliyo ndani yako kupitia kuwekwa kwa mikono yangu juu yako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki