9 Na Yoshua mwana wa Nuni alikuwa amejaa roho ya hekima,+ kwa kuwa Musa alikuwa ameweka mkono wake juu yake;+ na wana wa Israeli wakaanza kumsikiliza nao wakafanya kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.+
23 Zaidi ya hayo, wakawaweka rasmi wanaume wazee+ kwa ajili yao katika kila kutaniko, wakatoa sala pamoja na kufunga,+ na kuwakabidhi kwa Yehova+ ambaye walikuwa wamemwamini.