Matendo 14:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Zaidi ya hayo, wakawaweka rasmi wanaume wazee+ kwa ajili yao katika kila kutaniko, wakatoa sala pamoja na kufunga,+ na kuwakabidhi kwa Yehova+ ambaye walikuwa wamemwamini. 1 Timotheo 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Usiwe ukiipuuza zawadi+ iliyo ndani yako uliyopewa kupitia utabiri+ na wakati baraza la wanaume wazee walipoweka mikono+ yao juu yako. 2 Timotheo 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa sababu hii nakukumbusha wewe uichochee kama moto+ zawadi+ ya Mungu iliyo ndani yako kupitia kuwekwa kwa mikono yangu juu yako.+
23 Zaidi ya hayo, wakawaweka rasmi wanaume wazee+ kwa ajili yao katika kila kutaniko, wakatoa sala pamoja na kufunga,+ na kuwakabidhi kwa Yehova+ ambaye walikuwa wamemwamini.
14 Usiwe ukiipuuza zawadi+ iliyo ndani yako uliyopewa kupitia utabiri+ na wakati baraza la wanaume wazee walipoweka mikono+ yao juu yako.
6 Kwa sababu hii nakukumbusha wewe uichochee kama moto+ zawadi+ ya Mungu iliyo ndani yako kupitia kuwekwa kwa mikono yangu juu yako.+