Matendo 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ndipo wakafunga na kusali na kuweka mikono+ yao juu yao, wakawaacha waende zao. 1 Timotheo 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Usiwe ukiipuuza zawadi+ iliyo ndani yako uliyopewa kupitia utabiri+ na wakati baraza la wanaume wazee walipoweka mikono+ yao juu yako.
14 Usiwe ukiipuuza zawadi+ iliyo ndani yako uliyopewa kupitia utabiri+ na wakati baraza la wanaume wazee walipoweka mikono+ yao juu yako.