Matendo 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na Paulo alipoweka mikono+ yake juu yao, roho takatifu ikaja juu yao, nao wakaanza kusema katika lugha na kutoa unabii.+ 1 Wakorintho 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Fuatieni upendo, na bado endeleeni kutafuta kwa bidii zawadi za kiroho,+ lakini ni afadhali zaidi kwamba mtoe unabii.+
6 Na Paulo alipoweka mikono+ yake juu yao, roho takatifu ikaja juu yao, nao wakaanza kusema katika lugha na kutoa unabii.+
14 Fuatieni upendo, na bado endeleeni kutafuta kwa bidii zawadi za kiroho,+ lakini ni afadhali zaidi kwamba mtoe unabii.+