Waroma 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi, kwa kuwa tuna zawadi zinazotofautiana+ kulingana na fadhili zisizostahiliwa+ tulizopewa, kama ni unabii, na tutoe unabii kulingana na imani tuliyogawiwa; 1 Wathesalonike 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Msiyatendee kwa dharau maneno ya unabii.+
6 Basi, kwa kuwa tuna zawadi zinazotofautiana+ kulingana na fadhili zisizostahiliwa+ tulizopewa, kama ni unabii, na tutoe unabii kulingana na imani tuliyogawiwa;