1 Samweli 28:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na ikawa katika siku hizo kwamba Wafilisti wakaanza kukusanya kambi zao kwa ajili ya jeshi ili kufanya vita juu ya Israeli.+ Basi Akishi akamwambia Daudi: “Bila shaka unajua kwamba unapaswa kwenda pamoja nami kambini, wewe na watu wako.”+ 1 Samweli 29:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na wakuu wa muungano wa Wafilisti+ walikuwa wakipita kwa mamia na kwa maelfu, na Daudi na watu wake walikuwa wakipita baadaye pamoja na Akishi.+
28 Na ikawa katika siku hizo kwamba Wafilisti wakaanza kukusanya kambi zao kwa ajili ya jeshi ili kufanya vita juu ya Israeli.+ Basi Akishi akamwambia Daudi: “Bila shaka unajua kwamba unapaswa kwenda pamoja nami kambini, wewe na watu wako.”+
2 Na wakuu wa muungano wa Wafilisti+ walikuwa wakipita kwa mamia na kwa maelfu, na Daudi na watu wake walikuwa wakipita baadaye pamoja na Akishi.+