Zaburi 22:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana mbwa wamenizingira;+Kusanyiko la watenda-maovu limenizunguka.+Wako kwenye mikono yangu na miguu yangu kama simba.+ Zaburi 59:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana, tazama! wamejificha wakiingojea nafsi yangu;+Wenye nguvu hunishambulia,+Bila ya uasi wowote upande wangu, wala dhambi yoyote upande wangu, Ee Yehova.+ Zaburi 86:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ee Mungu, wenye kimbelembele wamesimama juu yangu;+Nalo kusanyiko la wenye kuonea wameitafuta nafsi yangu,+Nao hawajakuweka mbele yao.+
16 Kwa maana mbwa wamenizingira;+Kusanyiko la watenda-maovu limenizunguka.+Wako kwenye mikono yangu na miguu yangu kama simba.+
3 Kwa maana, tazama! wamejificha wakiingojea nafsi yangu;+Wenye nguvu hunishambulia,+Bila ya uasi wowote upande wangu, wala dhambi yoyote upande wangu, Ee Yehova.+
14 Ee Mungu, wenye kimbelembele wamesimama juu yangu;+Nalo kusanyiko la wenye kuonea wameitafuta nafsi yangu,+Nao hawajakuweka mbele yao.+