2 Samweli 15:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na zaidi ya hayo, alipotoa dhabihu, Absalomu akatuma watu kumchukua Ahithofeli+ Mgiloni,+ mshauri wa Daudi,+ kutoka katika Gilo+ jiji lake. Na hila+ hiyo ikaendelea kupata nguvu, na hesabu ya watu ikaendelea kuongezeka+ sikuzote kwa Absalomu. Zaburi 54:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana kuna wageni ambao wameinuka dhidi yangu,Na waonevu wanaoitafuta nafsi yangu.+Hawajamweka Mungu mbele yao.+ Sela.
12 Na zaidi ya hayo, alipotoa dhabihu, Absalomu akatuma watu kumchukua Ahithofeli+ Mgiloni,+ mshauri wa Daudi,+ kutoka katika Gilo+ jiji lake. Na hila+ hiyo ikaendelea kupata nguvu, na hesabu ya watu ikaendelea kuongezeka+ sikuzote kwa Absalomu.
3 Kwa maana kuna wageni ambao wameinuka dhidi yangu,Na waonevu wanaoitafuta nafsi yangu.+Hawajamweka Mungu mbele yao.+ Sela.