2 Samweli 16:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Baadaye Absalomu akamwambia Ahithofeli: “Toeni shauri lenu.+ Tufanye nini?” Mathayo 26:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 na kushauriana+ pamoja ili wamkamate Yesu kwa hila na kumuua.