Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mwovu anampangia hila mwadilifu,+

      Naye anamsagia meno yake.+

  • Methali 21:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Hakuna hekima, wala utambuzi wowote, wala shauri lolote, katika kumpinga Yehova.+

  • Isaya 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Pangeni hila, nayo itavunjwa!+ Semeni neno lolote, nalo halitasimama, kwa maana Mungu yupo pamoja nasi!+

  • Mathayo 27:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Asubuhi ilipofika, wakuu wote wa makuhani na wanaume wazee wa watu wakashauriana juu ya Yesu ili auawe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki