Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 18:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa hiyo Daudi akaondoka pamoja na watu wake, akapiga+ watu mia mbili kati ya Wafilisti, na Daudi akaleta magovi yao,+ akampa mfalme hesabu yake kamili, ili kufanya mapatano ya ndoa na mfalme. Naye Sauli akampa Mikali binti yake awe mke wake.+

  • 1 Samweli 22:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo Ahimeleki akamjibu mfalme na kusema: “Na ni nani aliye kama Daudi kati ya watumishi wako wote,+ mwaminifu,+ pia mwana-mkwe+ wa mfalme na mkuu juu ya walinzi wako, na mwenye kuheshimiwa nyumbani mwako?+

  • Methali 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Jibu, linapokuwa la upole, hugeuza ghadhabu,+ lakini neno linaloumiza hufanya hasira ipande.+

  • Methali 25:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa subira kiongozi hushawishiwa, na ulimi wa upole unaweza kuvunja mfupa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki