27 Kwa hiyo Daudi akaondoka pamoja na watu wake, akapiga+ watu mia mbili kati ya Wafilisti, na Daudi akaleta magovi yao,+ akampa mfalme hesabu yake kamili, ili kufanya mapatano ya ndoa na mfalme. Naye Sauli akampa Mikali binti yake awe mke wake.+
14 Ndipo Ahimeleki akamjibu mfalme na kusema: “Na ni nani aliye kama Daudi kati ya watumishi wako wote,+ mwaminifu,+ pia mwana-mkwe+ wa mfalme na mkuu juu ya walinzi wako, na mwenye kuheshimiwa nyumbani mwako?+