1 Samweli 19:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi Yonathani akasema vema+ kumhusu Daudi kwa Sauli baba yake na kumwambia: “Mfalme asitende dhambi+ juu ya Daudi mtumishi wake, kwa maana yeye hakutenda dhambi kwako wewe na kazi zake zimekuwa nzuri sana kwako wewe.+ 1 Samweli 20:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Hata hivyo, Yonathani akamjibu Sauli baba yake na kumwambia: “Kwa nini auawe?+ Amefanya nini?”+
4 Basi Yonathani akasema vema+ kumhusu Daudi kwa Sauli baba yake na kumwambia: “Mfalme asitende dhambi+ juu ya Daudi mtumishi wake, kwa maana yeye hakutenda dhambi kwako wewe na kazi zake zimekuwa nzuri sana kwako wewe.+