Mwanzo 42:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kisha Rubeni akawajibu, akawaambia: “Je, sikuwaambia, ‘Msimtendee mtoto huyo dhambi,’ lakini hamkusikia?+ Na sasa damu yake inadaiwa tena.”+ 2 Mambo ya Nyakati 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 basi na usikie ukiwa mbinguni,+ nawe utende+ na kuwahukumu watumishi wako ili kumlipa yule mwovu kwa kuweka njia yake juu ya kichwa chake mwenyewe+ na kwa kumtangaza mwadilifu+ kuwa ni mwadilifu kwa kumpa kulingana na uadilifu wake mwenyewe.+ 1 Yohana 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kila mtu anayemchukia+ ndugu yake ni muuaji,+ nanyi mnajua kwamba hakuna muuaji+ aliye na uzima wa milele ukikaa ndani yake.+
22 Kisha Rubeni akawajibu, akawaambia: “Je, sikuwaambia, ‘Msimtendee mtoto huyo dhambi,’ lakini hamkusikia?+ Na sasa damu yake inadaiwa tena.”+
23 basi na usikie ukiwa mbinguni,+ nawe utende+ na kuwahukumu watumishi wako ili kumlipa yule mwovu kwa kuweka njia yake juu ya kichwa chake mwenyewe+ na kwa kumtangaza mwadilifu+ kuwa ni mwadilifu kwa kumpa kulingana na uadilifu wake mwenyewe.+
15 Kila mtu anayemchukia+ ndugu yake ni muuaji,+ nanyi mnajua kwamba hakuna muuaji+ aliye na uzima wa milele ukikaa ndani yake.+