Mwanzo 37:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Rubeni aliposikia hilo alijaribu kumwokoa kutoka mikononi mwao.+ Kwa hiyo akasema: “Tusiipige nafsi yake kiasi cha kuiua.”+ Waroma 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wao ndio wanaoonyesha kuwa yaliyomo katika sheria yameandikwa ndani ya mioyo yao,+ huku dhamiri+ yao ikiwatolea ushahidi na, katikati ya fikira zao wenyewe, wanashtakiwa+ au hata kutetewa.
21 Rubeni aliposikia hilo alijaribu kumwokoa kutoka mikononi mwao.+ Kwa hiyo akasema: “Tusiipige nafsi yake kiasi cha kuiua.”+
15 Wao ndio wanaoonyesha kuwa yaliyomo katika sheria yameandikwa ndani ya mioyo yao,+ huku dhamiri+ yao ikiwatolea ushahidi na, katikati ya fikira zao wenyewe, wanashtakiwa+ au hata kutetewa.