Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 5:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Baada ya kumnywesha maji hayo, itatukia pia kwamba ikiwa amejitia unajisi kwa kufanya tendo la kukosa uaminifu kwa mume wake,+ ndipo maji yanayoleta laana yataingia ndani yake kama kitu kichungu, nalo tumbo lake litavimba, nalo paja lake litaanguka, na mwanamke huyo atakuwa laana katikati ya watu wake.+

  • 2 Wafalme 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 ‘ “Hakika niliona jana damu+ ya Nabothi na damu ya wanawe,”+ asema Yehova, “nami hakika nitakulipa+ wewe katika sehemu hii ya shamba,” asema Yehova.’ Basi sasa, mwinue; mtupe katika ile sehemu ya shamba kulingana na neno la Yehova.”+

  • Ayubu 34:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana yeye atamlipa+ mtu wa udongo kulingana na matendo yake,

      Na kulingana na pito la mwanadamu yeye ataifanya ije juu yake.

  • Methali 1:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Basi watakula matunda ya njia yao,+ nao watashiba mashauri yao wenyewe.+

  • Isaya 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ole wake mtu mwovu!—Msiba; kwa maana matendo yaliyotendwa kwa mikono yake mwenyewe atalipwa yeye!+

  • Wagalatia 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Msipotoshwe:+ Mungu si wa kudhihakiwa.+ Kwa maana lolote lile analopanda mtu, atavuna hilo pia;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki