13 na kwa kweli mwanamume mwingine alale naye na kutokwa na shahawa,+ nalo limefichwa machoni pa mume wake+ nalo halijagunduliwa, naye mwanamke huyo amejitia unajisi lakini hakuna shahidi juu yake, naye hajakamatwa;
20 Lakini wewe, ikiwa umegeuka kando ukiwa chini ya mume wako+ na ikiwa umejitia unajisi na mwanamume fulani ametia ndani yako shahawa zake zilizomtoka,+ isipokuwa mume wako,—”