Mambo ya Walawi 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “‘Nawe usimpe mke wa mwenzako shahawa inayokutoka awe asiye safi kutokana nayo.+ Hesabu 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 na kwa kweli mwanamume mwingine alale naye na kutokwa na shahawa,+ nalo limefichwa machoni pa mume wake+ nalo halijagunduliwa, naye mwanamke huyo amejitia unajisi lakini hakuna shahidi juu yake, naye hajakamatwa;
13 na kwa kweli mwanamume mwingine alale naye na kutokwa na shahawa,+ nalo limefichwa machoni pa mume wake+ nalo halijagunduliwa, naye mwanamke huyo amejitia unajisi lakini hakuna shahidi juu yake, naye hajakamatwa;