13 Sasa ikawa kwamba mara tu Labani alipoisikia habari juu ya Yakobo mwana wa dada yake, akaanza kukimbia kwenda kumpokea.+ Kisha akamkumbatia na kumbusu, akamleta mpaka ndani ya nyumba yake.+ Naye akaanza kumsimulia Labani mambo hayo yote.
10Ndipo Samweli akachukua chupa+ ya mafuta na kuyamimina juu ya kichwa chake, akambusu+ na kusema: “Je, si kwa sababu Yehova amekutia mafuta uwe kiongozi+ juu ya urithi wake?+