Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 29:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Sasa ikawa kwamba mara tu Labani alipoisikia habari juu ya Yakobo mwana wa dada yake, akaanza kukimbia kwenda kumpokea.+ Kisha akamkumbatia na kumbusu, akamleta mpaka ndani ya nyumba yake.+ Naye akaanza kumsimulia Labani mambo hayo yote.

  • Mwanzo 45:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Akawabusu ndugu zake wote akawalilia,+ kisha ndugu zake wakaongea naye.

  • 1 Samweli 10:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ndipo Samweli akachukua chupa+ ya mafuta na kuyamimina juu ya kichwa chake, akambusu+ na kusema: “Je, si kwa sababu Yehova amekutia mafuta uwe kiongozi+ juu ya urithi wake?+

  • 2 Samweli 19:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Sasa watu wote wakaanza kuvuka Yordani, naye mfalme akavuka; lakini mfalme akambusu+ Barzilai na kumbariki,+ kisha akarudi mahali pake.

  • Matendo 20:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Kwa kweli, wote wakalia sana, nao wakamwangukia Paulo shingoni+ na kumbusu+ kwa wororo,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki