14Na ikawa siku moja kwamba Yonathani+ mwana wa Sauli alimwambia mtumishi aliyechukua silaha zake: “Njoo tuvuke, twende kwenye kituo cha mbele cha Wafilisti walio pale ng’ambo.” Lakini hakumwambia baba yake jambo hilo.+
49 Na wana wa Sauli wakawa ni Yonathani+ na Ishvi na Malki-shua,+ na majina ya binti zake wawili, jina la yule aliyezaliwa kwanza lilikuwa Merabu+ na jina la yule mdogo lilikuwa Mikali.+
4 Na Daudi akaendelea kumwambia: “Mambo yaliendaje? Niambie tafadhali.” Naye akasema: “Watu wamekimbia kutoka vitani na pia watu wengi wameanguka, wakafa,+ na hata Sauli+ na Yonathani+ mwana wake wamekufa pia.”