1 Samweli 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Siku moja Yonathani+ mwana wa Sauli alimwambia hivi mtumishi aliyembebea silaha: “Njoo tuvuke, twende kwenye kituo cha ulinzi cha Wafilisti upande wa pili.” Lakini hakumwambia baba yake jambo hilo.
14 Siku moja Yonathani+ mwana wa Sauli alimwambia hivi mtumishi aliyembebea silaha: “Njoo tuvuke, twende kwenye kituo cha ulinzi cha Wafilisti upande wa pili.” Lakini hakumwambia baba yake jambo hilo.